RUVUMA: WAZIRI BASHE AAMURU MBOLEA KUUZWA HADI SAA 12 JIONI

Na Barnabas Kisengi Ruvuma. Waziri wa Kilimo, Husein Bashe amemuomba Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Julius Ningu kuwawezesha wasambazaji wa mbolea kufanya kazi mpaka saa 12 jioni ili waweze kuwahudumia wakulima wanaohitaji huduma hiyo kwa msimu huu wa kilimo. Tuwawezesha kupata askari watakaolinda eneo la biashara na baadaye kuwasindikiza bank ili waweze kuweka pesa